Taarifa hiyo inasema pande hizo mbili pia zilikubaliana juu ya umuhimu wa mawasiliano ya mara kwa mara ya kijeshi na kufanya mipango kwa makamanda kufanya mazungumzo kwa njia ya simu.
Treni ilipopita kituo cha Nellie, aliamka na kugundua mkoba wake na simu yake ya mkononi vimeibiwa. Mwanawe alimkamata mwizi huyo kwa kutumia teknolojia ya Google ya kufuatilia ramani na kupata ...
Kwa kuona hatari hiyo, akalitupa koti na papo hapo simu iliyokuwa ndani ikateketea kwa moto. Katika video iliyorekodiwa nje ya mahakama, wakili Usman Khan alielezea sababu ya kulipuka kwa betri ya ...