Heri ya msimu wa matoleo mapya ya simu za smartphone kwa wote wanaosherehekea. Ni wakati mwingine tena wa mwaka, ambapo kampuni kubwa za teknolojia zinafanya kila wawezalo kukushawishi kununua ...
Timu za BBC katika jiji hilo ziliripoti matukio ya fujo ambapo ambulensi zilitatizika kuwafikia waliojeruhiwa, na wenyeji walitilia shaka mtu yeyote anayetumia simu. Milipuko hiyo ilizidisha hali ...
Waziri Mkuu wa Japani Ishiba Shigeru amefanya mazungumzo yake ya kwanza tangu aingie madarakani kwa njia ya simu na Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol. Wamekubaliana kwamba serikali zao ...
Biden na Netanyahu wazungumza kwa njia ya simu kufuatia shambulio la Iran Inaaminika kuwa ni mazungumzo yao ya kwanza katika kipindi cha majuma saba yaliyopita.