Kwa kuona hatari hiyo, akalitupa koti na papo hapo simu iliyokuwa ndani ikateketea kwa moto. Katika video iliyorekodiwa nje ya mahakama, wakili Usman Khan alielezea sababu ya kulipuka kwa betri ya ...
Baada ya kutangazwa kwa simu za kizazi cha tano (5G) mwaka wa 2019 na zaidi, kumekuwa na wasiwasi kuhusu madhara ambayo simu hizi zinaweza kusababisha kwa wanadamu. Mara moja kuna watu walisema ...
Taarifa hiyo inasema pande hizo mbili pia zilikubaliana juu ya umuhimu wa mawasiliano ya mara kwa mara ya kijeshi na kufanya mipango kwa makamanda kufanya mazungumzo kwa njia ya simu.
Biden na Netanyahu wazungumza kwa njia ya simu kufuatia shambulio la Iran Inaaminika kuwa ni mazungumzo yao ya kwanza katika kipindi cha majuma saba yaliyopita.